Biblia inasema nini kuhusu Barakia – Mistari yote ya Biblia kuhusu Barakia

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Barakia

Zekaria 1 : 1
1 Katika mwezi wa nane, mwaka wa pili wa Dario, neno la BWANA lilimjia Zekaria, mwana wa Berekia, mwana wa Ido, nabii, kusema,

Zekaria 1 : 7
7 Siku ya ishirini na nne ya mwezi wa kumi na moja, yaani, mwezi uitwao Shebati, katika mwaka wa pili wa Dario, neno la BWANA lilimjia Zekaria, mwana wa Berekia, mwana wa Ido, nabii, kusema,

Mathayo 23 : 35
35 hivyo ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habili, yule mwenye haki, hata damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemwua kati ya patakatifu na madhabahu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *