Biblia inasema nini kuhusu Baana – Mistari yote ya Biblia kuhusu Baana

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Baana

1 Wafalme 4 : 12
12 Baana mwana wa Ahiludi, katika Taanaki na Megido, na Beth-sheani yote, iliyo kando ya Sarethani, chini ya Yezreeli, tangu Beth-sheani mpaka Abel-mehola, hata kupita Yokmeamu.

Nehemia 3 : 4
4 Na baada yao akaijenga Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi. Na baada yao akafanyiza Meshulamu, mwana wa Berekia, mwana wa Meshezabeli. Na baada yao akafanyiza Sadoki, mwana wa Baana.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *