Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Baalah
Yoshua 15 : 29
29 Baala, Iyimu, Esemu;
Yoshua 19 : 3
3 Hasar-shuali, Bala, Esemu;
Yoshua 15 : 11
11 kisha mpaka ukaendelea hadi upande wa kaskazini wa Ekroni; tena mpaka ulipigwa hadi Shikroni, na kwendelea mpaka kilima cha Baala, kisha ukatokea hapo Yabneeli; na ukaishia katika bahari.
Yoshua 15 : 10
10 kisha mpaka ukazunguka kutoka Baala kwendelea upande wa magharibi hadi kilima Seiri, kisha ukaendelea hadi upande wa mlima wa Yearimu upande wa kaskazini (huo ndio Kesaloni), kisha ukateremkia Beth-shemeshi, na kwendelea karibu na Timna;
Leave a Reply