Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Baal-hazori
2 Samweli 13 : 23
23 Ikawa baada ya miaka miwili mizima, Absalomu alikuwa na wenye kukata manyoya ya kondoo huko Baal-hasori uliopo upande wa Efraimu; naye Absalomu akawaalika wana wote wa mfalme.
Leave a Reply