Biblia inasema nini kuhusu Aznoth-Tabori – Mistari yote ya Biblia kuhusu Aznoth-Tabori

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Aznoth-Tabori

Yoshua 19 : 34
34 ⑰ tena mpaka ulizunguka kwendelea upande wa magharibi hadi Aznoth-tabori, tena kutoka hapo ukaendelea mpaka Hukoki; kisha ukafikia hadi Zabuloni upande wa kusini, tena ulifikia hadi Asheri upande wa magharibi, tena ulifikia hata Yuda hapo katika mto wa Yordani kwa upande wa kuelekea maawio ya jua.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *