Biblia inasema nini kuhusu Azeka – Mistari yote ya Biblia kuhusu Azeka

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Azeka

Yoshua 10 : 11
11 Kisha ikawa, hapo walipokuwa wakikimbia mbele ya Israeli, hapo walipokuwa wakiteremka Beth-horoni, ndipo BWANA alipowatupia mawe makubwa kutoka mbinguni juu yao hadi kufikia Azeka, nao wakafa; hao waliokufa kwa kuuawa na hayo mawe ya barafu walikuwa ni wengi kuliko hao waliouawa na wana wa Israeli kwa upanga.

Yoshua 15 : 35
35 Yarmuthi, Adulamu, Soko, Azeka;

1 Samweli 17 : 1
1 Wakati huo Wafilisti walikusanya majeshi yao kwa vita, nao wakakusanyika huko Soko, ulio mji wa Yuda, wakatua kati ya Soko na Azeka, katika Efes-damimu.

2 Mambo ya Nyakati 11 : 9
9 Adoraimu, Lakishi, Azeka,

Nehemia 11 : 30
30 Zanoa, Adulamu na vijiji vyake, Lakishi na mashamba yake, Azeka na vijiji vyake. Hivyo wakakaa toka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.

Yeremia 34 : 7
7 wakati ule jeshi la Babeli walipopigana na Yerusalemu na miji yote ya Yuda iliyosalia, na Lakishi, na Azeka; kwa maana miji hiyo tu ndiyo iliyosalia katika miji ya Yuda yenye maboma.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *