Biblia inasema nini kuhusu Aveni – Mistari yote ya Biblia kuhusu Aveni

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Aveni

Amosi 1 : 5
5 Nami nitalivunja komeo la Dameski, na kuwakatilia mbali wenyeji wa bondeni mwa Aveni, na yeye aishikaye fimbo ya enzi katika Beth-Adini; na watu wa Shamu watakwenda uhamishoni hadi Kiri, asema BWANA.

Ezekieli 30 : 17
17 Vijana wa Oni, na wa Pi-besethi, wataanguka kwa upanga; na miji hiyo itakwenda utumwani.

Hosea 10 : 8
8 Mahali pa Aveni palipoinuka, yaani, dhambi ya Israeli, pataharibika; mwiba na mbigili itamea juu ya madhabahu zake; nao wataiambia milima, Tusitirini; na vilima, Tuangukieni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *