Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Assir
Kutoka 6 : 24
24 Na wana wa Kora; ni Asiri, na Elkana, na Abiasafu; hizo ni jamaa za hao Wakora.
1 Mambo ya Nyakati 6 : 22
22 Wana wa Kohathi; mwanawe huyo ni Ishari, na mwanawe huyo ni Kora, na mwanawe huyo ni Asiri;
1 Mambo ya Nyakati 6 : 23
23 na mwanawe huyo ni Elkana, na mwanawe huyo ni Ebiasafu, na mwanawe huyo ni Asiri;
1 Mambo ya Nyakati 6 : 37
37 mwana wa Tahathi, mwana wa Asiri, mwana wa Ebiasafu, mwana wa Kora;
1 Mambo ya Nyakati 3 : 17
17 Na wana wa Yekonia, huyo aliyechukuliwa mateka; mwanawe Shealtieli,
Leave a Reply