Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Asp
Kumbukumbu la Torati 32 : 33
33 Mvinyo yao ni sumu ya majoka, Uchungu mkali wa nyoka.
Ayubu 20 : 14
14 ⑫ Hata hivyo chakula chake matumboni mwake kinabadilika, Kimekuwa ni nyongo za majoka ndani yake.
Ayubu 20 : 16
16 Atanyonya sumu ya majoka; Na ulimi wa fira utamwua.
Isaya 11 : 8
8 Na mtoto anyonyaye atacheza penye tundu la nyoka, na mtoto aliyeachishwa kunyonya atatia mkono wake katika pango la fira.
Warumi 3 : 13
13 Koo lao ni kaburi wazi, Kwa ndimi zao wametumia hila. Sumu ya fira iko chini ya midomo yao.
Zaburi 140 : 3
3 Wamenoa ndimi zao na kuwa kama za nyoka, Na katika midomo yao mna sumu ya fira.
Warumi 3 : 13
13 Koo lao ni kaburi wazi, Kwa ndimi zao wametumia hila. Sumu ya fira iko chini ya midomo yao.
Kumbukumbu la Torati 32 : 33
33 Mvinyo yao ni sumu ya majoka, Uchungu mkali wa nyoka.
Mithali 23 : 32
32 Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.
Isaya 11 : 9
9 Hawatadhuru wala hawataharibu katika mlima wangu wote mtakatifu; maana dunia itajawa na kumjua BWANA, kama vile maji yanavyoifunika bahari.
Leave a Reply