Biblia inasema nini kuhusu Antiokia – Mistari yote ya Biblia kuhusu Antiokia

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Antiokia

Matendo 11 : 30
30 Wakafanya hivyo, wakawapelekea wazee kwa mikono ya Barnaba na Sauli.

Matendo 13 : 1
1 ② Na huko Antiokia katika kanisa lililokuwako palikuwa na manabii na waalimu, nao ni Barnaba, na Simeoni aitwaye Nigeri,[2] na Lukio Mkirene, na Manaeni aliyekuwa ndugu wa kulelewa wa mfalme Herode, na Sauli.

Matendo 14 : 27
27 ⑭ Hata walipofika wakalikutanisha kanisa, wakawaeleza mambo yote aliyoyafanya Mungu pamoja nao, na ya kwamba amewafungulia Mataifa mlango wa imani.

Matendo 14 : 28
28 Wakaketi huko wakati usiokuwa mchache, pamoja na wanafunzi.

Matendo 15 : 35
35 Na Paulo na Barnaba wakakaa huko Antiokia, wakifundisha na kulihubiri neno la Bwana, pamoja na watu wengine wengi.

Wagalatia 2 : 15
15 Sisi tulio Wayahudi kwa asili, wala si wa Mataifa wenye dhambi,

Matendo 13 : 52
52 Lakini wanafunzi walijaa furaha na Roho Mtakatifu.

2 Timotheo 3 : 11
11 ⑯ na upendo, na subira; tena na adha zangu na mateso, mambo yaliyonipata katika Antiokia, katika Ikonio, na katika Listra, kila namna ya adha niliyoistahimili, naye Bwana aliniokoa katika hayo yote.

Matendo 14 : 22
22 ⑪ wakifanya imara roho za wanafunzi na kuwahimiza wakae katika ile Imani, na ya kwamba imetupasa kuingia katika ufalme wa Mungu kwa njia ya dhiki nyingi.

Matendo 18 : 22
22 na alipokwisha kushuka Kaisaria, akapanda juu, akawasalimu kanisa, kisha akateremka kwenda Antiokia.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *