Biblia inasema nini kuhusu Aner – Mistari yote ya Biblia kuhusu Aner

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Aner

Mwanzo 14 : 13
13 Mtu mmoja aliyeponyoka akaenda, akampasha habari Abramu Mwebrania; aliyekuwa akikaa karibu na mialoni ya Mamre, yule Mwamori, ndugu ya Eshkoli, na ndugu ya Aneri, na hao walikuwa wamepatana na Abramu.

Mwanzo 14 : 24
24 isipokuwa hivyo walivyokula vijana, na sehemu za watu waliokwenda nami, yaani, Aneri, na Eshkoli, na Mamre; na watwae wao sehemu zao.

1 Mambo ya Nyakati 6 : 70
70 na katika nusu kabila ya Manase; Taanaki pamoja na viunga vyake, na Ibleamu pamoja na viunga vyake; kwa mabaki ya jamaa ya wana wa Kohathi.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *