Biblia inasema nini kuhusu amri – Mistari yote ya Biblia kuhusu amri

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia amri

Ayubu 22 : 28
28 Nawe utakusudia neno, nalo litathibitika kwako; Na mwanga utaziangazia njia zako.

Hesabu 23 : 19
19 ⑥ Mungu si mtu, aseme uongo; Wala si mwanadamu, ajute; Iwapo amesema, hatalitenda? Iwapo amenena, hatalitimiza?

Zaburi 2 : 7
7 Nitaihubiri amri; BWANA aliniambia, Wewe ni mwanangu, Mimi leo nimekuzaa.

2 Wakorintho 6 : 2
2 ④ (Kwa maana asema, Kwa wakati uliokubalika nilikusikia, Na katika siku ya wokovu nilikusaidia; tazama, wakati uliokubalika ndio sasa; tazama, siku ya wokovu ndiyo sasa.)

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *