Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Amazia
1 Mambo ya Nyakati 6 : 45
45 mwana wa Hashabia, mwana wa Amazia, mwana wa Hilkia;
Amosi 7 : 17
17 kwa hiyo, BWANA asema hivi, Mke wako atakuwa kahaba mjini, na wana wako na binti zako wataanguka kwa upanga, na shamba lako litagawanywa kwa kamba; na wewe mwenyewe utakufa katika nchi iliyo najisi; na bila shaka Israeli atapelekwa uhamishoni mbali na nchi yake.
1 Mambo ya Nyakati 4 : 34
34 Naye Meshobabu, na Yamleki, na Yosha, mwana wa Amazia;
Leave a Reply