Biblia inasema nini kuhusu Alama – Mistari yote ya Biblia kuhusu Alama

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Alama

Kumbukumbu la Torati 19 : 14
14 Usiiondoe alama ya mpaka wa jirani yako, waliouweka watu wa kale katika urithi wako, utakaorithi ndani ya nchi akupayo BWANA, Mungu wako, uimiliki.

Kumbukumbu la Torati 27 : 17
17 ⑩ Na alaaniwe aondoaye mpaka wa jirani yake. Na watu wote waseme, Amina.

Ayubu 24 : 2
2 Wako waziondoao alama za mipaka; Huyachukua makundi na kuyalisha.

Mithali 22 : 28
28 Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani, Uliowekwa na baba zako.

Mithali 23 : 10
10 Usiiondoe alama ya mpaka wa zamani; Wala usiingie katika mashamba ya yatima;

Hosea 5 : 10
10 ⑪ Wakuu wa Yuda ni kama watu waondoao alama ya mpaka; nitawamwagia ghadhabu yangu kama maji.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *