Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ahara
Mwanzo 46 : 21
21 Na wana wa Benyamini; Bela, na Bekeri, na Ashbeli, na Gera, na Naamani, na Ehi, na Roshi, na Mupimu, na Hupimu, na Ardi.
Hesabu 26 : 38
38 ⑦ Na wana wa Benyamini kwa jamaa zao; wa Bela, jamaa ya Wabela; na wa Ashbeli, jamaa ya Waashbeli; wa Ahiramu, jamaa ya Waahiramu;
1 Mambo ya Nyakati 7 : 12
12 Tena Shupimu, na Hupimu, wana wa Iri; na Hushimu, wana wa Aheri.
1 Mambo ya Nyakati 8 : 1
1 ⑫ Naye Benyamini akamzaa Bela, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Ashbeli, na wa tatu Ahiramu;
Leave a Reply