Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ague
Mambo ya Walawi 26 : 16
16 mimi nami nitawatenda jambo hili; nitaamrisha uje juu yenu utisho, hata kifua kikuu na homa, zitakazoharibu macho yenu, na kuidhoofisha roho; nanyi mtapanda mbegu yenu bure, kwa kuwa adui zenu wataila.
Leave a Reply