Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Agate
Kutoka 28 : 19
19 na safu ya tatu itakuwa hiakintho, na akiki nyekundu, na amethisto;
Isaya 54 : 12
12 Nami nitaifanya minara yako ya akiki nyekundu, na malango yako ya almasi, na mipaka yako yote ya mawe yapendezayo.
Ezekieli 27 : 16
16 Shamu alikuwa mfanya biashara kwako, kwa sababu ya wingi wa kazi za mkono wako walifanya biashara kwa zumaridi, urujuani, kazi ya taraza, kitani safi, marijani na akiki, wapate vitu vyako vilivyouzwa.
Leave a Reply