Biblia inasema nini kuhusu Afeki – Mistari yote ya Biblia kuhusu Afeki

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Afeki

Yoshua 19 : 30
30 na Uma pia, na Afeka, na Rehobu; miji ishirini na miwili, pamoja na vijiji vyake.

Waamuzi 1 : 31
31 Asheri naye hakuwatoa wenyeji wa Aka, wala hao waliokaa Sidoni, wala hao wa Alabu, wala hao wa Akzibu, wala hao wa Helba, wala hao wa Afeka, wala hao wa Rehobu;

1 Samweli 4 : 11
11 Hilo sanduku la Mungu likatwaliwa; na Hofni na Finehasi, wale wana wawili wa Eli, wakauawa.

1 Samweli 29 : 1
1 ⑩ Basi hao Wafilisti wakakusanya majeshi yao yote huko Afeki; nao Waisraeli wakafanya kambi karibu na chemchemi iliyoko Yezreeli.

1 Samweli 31 : 13
13 ① Kisha wakaitwaa mifupa yao, na kuizika chini ya mkwaju huko Yabeshi, nao wakafunga siku saba.

Yoshua 12 : 18
18 mfalme wa Afeka, mmoja; na mfalme wa Lasharoni, mmoja;

1 Wafalme 20 : 30
30 Lakini waliosalia wakakimbia mpaka Afeki, mjini; na ukuta ukaanguka juu ya watu elfu ishirini na saba waliosalia. Ben-hadadi naye akakimbia, akaingia mjini, katika chumba cha ndani.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *