Biblia inasema nini kuhusu Adoniya – Mistari yote ya Biblia kuhusu Adoniya

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Adoniya

2 Samweli 3 : 4
4 ⑬ na wa nne Adoniya, mwana wa Hagithi; na wa tano Shefatia, mwana wa Abitali;

1 Wafalme 1 : 6
6 Tena baba yake hakumchukiza wakati wowote kwa kusema, Mbona umefanya hivi? Kisha, alikuwa mtu mzuri sana; naye alizaliwa baada ya Absalomu.

1 Mambo ya Nyakati 3 : 2
2 wa tatu, Absalomu, mwana wa Maaka, binti Talmai, mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya, mwana wa Hagithi;

1 Wafalme 2 : 25
25 Mfalme Sulemani akatuma kuwa jambo hilo liwe mkononi mwa Benaya mwana wa Yehoyada: naye akampiga, hata akafa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *