Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Adoni-Bezeki
Waamuzi 1 : 7
7 Adoni-bezeki akasema, Wafalme sabini, waliokuwa wamekatwa vidole vyao vya gumba vya mikono na vya miguu, waliokota chakula chao chini ya meza yangu; kama nilivyofanya mimi, Mungu amenilipa vivyo hivyo. Wakamleta Yerusalemu naye akafa kuko.
Leave a Reply