Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Adnah
1 Mambo ya Nyakati 12 : 20
20 Naye alipokuwa akienda Siklagi, Manase hawa wakamwangukia, Adna, na Yozabadi, na Yediaeli, na Mikaeli, na Yozabadi, na Elihu, na Silethai, makamanda wa maelfu waliokuwa wa Manase.
2 Mambo ya Nyakati 17 : 14
14 Na hivi ndivyo walivyohesabiwa kwa mbari za baba zao; wa Yuda, makamanda wa maelfu; Adna jemadari, na pamoja naye watu mashujaa elfu mia tatu;
Leave a Reply