Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Adder
Mwanzo 49 : 17
17 Dani atakuwa nyoka barabarani, Bafe katika njia, Aumaye visigino vya farasi, Na apandaye akaanguka chali.
Zaburi 91 : 13
13 Utawakanyaga simba na nyoka, Mwanasimba na joka utawakanyaga kwa miguu.
Zaburi 58 : 4
4 ④ Wana sumu mfano wa sumu ya nyoka; Wao ni kama fira kiziwi azibaye sikio lake.
Zaburi 140 : 3
3 Wamenoa ndimi zao na kuwa kama za nyoka, Na katika midomo yao mna sumu ya fira.
Mithali 23 : 32
32 Mwisho wake huuma kama nyoka; Huchoma kama fira.
Leave a Reply