Biblia inasema nini kuhusu Abimeleki โ€“ Mistari yote ya Biblia kuhusu Abimeleki

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Abimeleki

Mwanzo 21 : 32
32 Basi wakafanya mapatano huko Beer-sheba. Abimeleki, na Fikoli mkuu wa jeshi lake, wakaondoka wakarudi hata nchi ya Wafilisti.

Waamuzi 8 : 31
31 Na suria yake aliyekuwako Shekemu, yeye naye akamzalia mwana, naye akamwita jina lake Abimeleki.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *