Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Abimeleki
Mwanzo 21 : 32
32 Basi wakafanya mapatano huko Beer-sheba. Abimeleki, na Fikoli mkuu wa jeshi lake, wakaondoka wakarudi hata nchi ya Wafilisti.
Waamuzi 8 : 31
31 Na suria yake aliyekuwako Shekemu, yeye naye akamzalia mwana, naye akamwita jina lake Abimeleki.
Leave a Reply