Biblia inasema nini kuhusu Abdi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Abdi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Abdi

2 Mambo ya Nyakati 29 : 12
12 Ndipo wakaondoka Walawi, Mahathi mwana wa Amasai, na Yoeli mwana wa Azaria, wa wana wa Wakohathi; na wa wana wa Merari, Kishi mwana wa Abdi, na Azaria mwana wa Yehaleleli; na wa Wagershoni, Yoa mwana wa Zima na Edeni mwana wa Yoa;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *