Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ukomunisti
Matendo 2 : 45
45 wakiuza mali zao, na vitu vyao walivyokuwa navyo, na kuwagawia watu wote kulingana na haja ya kila mmoja.
Matendo 4 : 32
32 ⑬ Na jamii ya watu walioamini walikuwa na moyo mmoja na roho moja; wala hapana mmoja aliyesema ya kuwa kitu chochote alicho nacho ni mali yake mwenyewe; bali walimiliki vitu vyote kwa pamoja.
Matendo 4 : 37
37 alikuwa na shamba akaliuza, akaileta fedha, akaiweka miguuni pa mitume.
Matendo 5 : 10
10 Mara akaanguka miguuni pake akafa; wale vijana wakaingia wakamkuta amekufa, wakamchukua nje, wakamzika pamoja na mumewe.
Leave a Reply