Biblia inasema nini kuhusu Ukasisi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Ukasisi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Ukasisi

Mathayo 9 : 13
13 ⑭ Lakini nendeni, mkajifunze maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka; kwa maana sikuja kuwaita wenye haki, bali wenye dhambi.

Mathayo 23 : 4
4 Wao hufunga mizigo mizito na kuwatwika watu mabegani mwao; wasitake wenyewe kuigusa kwa kidole chao.

Mathayo 23 : 10
10 Wala msiitwe viongozi; maana Kiongozi wenu ni mmoja, naye ndiye Kristo.

Mathayo 23 : 35
35 hivyo ije juu yenu damu yote ya haki iliyomwagika juu ya nchi, tangu damu ya Habili, yule mwenye haki, hata damu ya Zakaria mwana wa Barakia, mliyemwua kati ya patakatifu na madhabahu.

Marko 9 : 50
50 ② Chumvi ni njema; lakini chumvi ikiwa si chumvi tena, mtaitia nini ikolee? Muwe na chumvi ndani yenu, mkakae kwa amani ninyi kwa ninyi.

Mathayo 21 : 20
20 Wanafunzi walipoona, walistaajabu, wakisema, Jinsi gani mtini umenyauka mara?

Mathayo 21 : 44
44 Naye aangukaye juu ya jiwe hilo atavunjika vipande vipande; naye yeyote ambaye litamwangukia, litamsaga tikitiki.

Mathayo 15 : 20
20 hayo ndiyo yamtiayo mtu unajisi; lakini kula kabla hajanawa mikono hakumtii mtu unajisi.

Mathayo 12 : 7
7 ① Lakini kama mngalijua maana yake maneno haya, Nataka rehema, wala si sadaka, msingaliwalaumu wasio na hatia.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *