Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bigvai
Ezra 2 : 2
2 ndio hawa waliokuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndiyo hesabu ya watu wa Israeli;
Ezra 8 : 14
14 Na wa wana wa Bigwai, Uthai, mwana wa Zabudi; na pamoja naye wanaume sabini.
Nehemia 7 : 7
7 ⑮ ndio hawa waliokuja pamoja na Zerubabeli, Yoshua, Nehemia, Seraya, Reelaya, Nahamani, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigwai, Rehumu, na Baana. Hii ndiyo idadi ya watu wa watu wa Israeli;
Nehemia 7 : 19
19 Wana wa Bigwai, elfu mbili sitini na saba.
Nehemia 10 : 16
16 Adonikamu, Bigwai, Adini;
Leave a Reply