Biblia inasema nini kuhusu Shimei – Mistari yote ya Biblia kuhusu Shimei

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Shimei

Kutoka 6 : 17
17 Wana wa Gershoni; ni Libni, na Shimei, kulingana na jamaa zao.

Hesabu 3 : 18
18 Na majina ya wana wa Gershoni kwa jamaa zao ni Libni na Shimei.

1 Mambo ya Nyakati 6 : 17
17 Na haya ndiyo majina ya wana wa Gershoni; Libni, na Shimei.

1 Mambo ya Nyakati 23 : 7
7 Wa Wagershoni; Ladani, na Shimei.

1 Mambo ya Nyakati 23 : 10
10 Na wana wa Shimei; Yahathi, na Zina, na Yeushi, na Beria. Hao wanne walikuwa wana wa Shimei.

2 Samweli 16 : 13
13 Basi wakaendelea njiani Daudi na watu wake; Shimei naye akaaendelea juu ya ubavu wa kile kilima, kwa kumkabili, huku akiendelea, akilaani, akimtupia mawe, na kurusha mavumbi.

2 Samweli 19 : 23
23 Kisha mfalme akamwambia Shimei, Hutakufa. Mfalme akamwapia.

1 Wafalme 2 : 46
46 Basi mfalme akamwamuru Benaya, mwana wa Yehoyada; naye akatoka, akampiga, hata akafa. Nao ufalme ukawa imara mkononi mwa Sulemani.

1 Wafalme 1 : 8
8 Ila Sadoki, kuhani, na Benaya, mwana wa Yehoyada, na Nathani, nabii, na Shimei, na Rei, na mashujaa wa Daudi, hao hawakuwa pamoja na Adonia.

1 Wafalme 4 : 18
18 Shimei mwana wa Ela, katika Benyamini.

1 Mambo ya Nyakati 3 : 19
19 Na wana wa Pedaya; Zerubabeli, na Shimei; na wana wa Zerubabeli; Meshulamu na Hanania; na Shelomithi alikuwa dada yao;

1 Mambo ya Nyakati 4 : 27
27 Naye Shimei alikuwa na wana wa kiume kumi na sita, na wana wa kike sita; lakini nduguze walikuwa hawana watoto wengi, tena jamaa yao yote haikuongezeka sana kama wana wa Yuda.

1 Mambo ya Nyakati 5 : 4
4 Wana wa Yoeli; mwanawe huyo ni Shemaya, na mwanawe huyo ni Gogu, na mwanawe huyo ni Shimei;

1 Mambo ya Nyakati 6 : 29
29 Wana wa Merari; Mali, na mwanawe huyo ni Libni, na mwanawe huyo ni Shimei, na mwanawe huyo ni Uza;

1 Mambo ya Nyakati 6 : 42
42 mwana wa Yoa, mwana wa Zima, mwana wa Shimei;

1 Mambo ya Nyakati 8 : 21
21 na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *