Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Shekania
1 Mambo ya Nyakati 24 : 11
11 ya tisa Yeshua, ya kumi Shekania;
2 Mambo ya Nyakati 31 : 15
15 ④ Na chini yake walikuwa Edeni, na Minyamini, na Yeshua, na Shemaya, na Amaria, na Shekania, mijini mwa makuhani, kwa walivyoaminiwa, ili kuwagawia ndugu zao kwa zamu, wakuu na wadogo sawasawa;
Leave a Reply