Biblia inasema nini kuhusu seti – Mistari yote ya Biblia kuhusu seti

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia seti

Mwanzo 5 : 3
3 Adamu akaishi miaka mia moja na thelathini, akazaa mwana kwa sura yake, kwa mfano wake, akamwita jina lake Sethi.

Mwanzo 4 : 26
26 Sethi naye akazaa mwana; akamwita jina lake Enoshi. Hapo ndipo watu walipoanza kuliitia Jina la BWANA.

Mwanzo 4 : 25
25 Adamu akamjua mke wake tena; akazaa mwana mwanamume, akamwita jina lake Sethi; maana alisema, Mungu ameniwekea uzao mwingine mahali pa Habili; kwa sababu Kaini alimwua.

Mwanzo 5 : 4
4 Siku za Adamu baada ya kumzaa Sethi zilikuwa miaka mia nane, akazaa wana, wa kiume na wa kike.

Luka 3 : 38
38 ⑰ wa Enoshi, wa Sethi, wa Adamu, wa Mungu.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *