Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Abia
1 Mambo ya Nyakati 24 : 10
10 ya saba Hakosi, ya nane Abia;
Nehemia 12 : 4
4 ⑩ Ido, Ginethoni, Abia;
Luka 1 : 5
5 Zamani za Herode, mfalme wa Yudea, palikuwa na kuhani mmoja, jina lake Zakaria, wa kikundi cha ukuhani cha Abiya, na mkewe alikuwa mmojawapo wa uzao wa Haruni, jina lake Elisabeti.
1 Samweli 8 : 5
5 wakamwambia, Angalia, wewe umezeeka, na wanao hawaendi katika njia zako; basi, tuteulie mfalme atutawale kama mataifa yale mengine yote.
Leave a Reply