Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nitre
Mithali 25 : 20
20 ⑱ Amwimbiaye nyimbo mtu mwenye moyo mzito, Ni kama yeye avuaye nguo wakati wa baridi; Ni kama siki juu ya magadi.
Yeremia 2 : 22
22 Maana ujapojiosha kwa magadi, na kujipatia sabuni nyingi, lakini uovu wako umeandikwa mbele zangu, asema Bwana MUNGU.
Leave a Reply