Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bati
Hesabu 31 : 22
22 lakini dhahabu, na fedha, na shaba, na chuma, na bati, na risasi,
Ezekieli 22 : 18
18 ⑦ Mwanadamu, nyumba ya Israeli imekuwa taka za fedha kwangu; wote wamekuwa shaba, na bati, na chuma, na risasi, katika tanuri; wamekuwa taka za fedha.
Ezekieli 22 : 20
20 Kama vile watu wakusanyavyo fedha, na shaba, na chuma, na risasi, na bati, katika tanuri, ili kuvifukutia moto na kuviyeyusha; ndivyo nitakavyowakusanya ninyi katika hasira yangu, na ghadhabu yangu, nami nitawalaza huko, na kuwayeyusha.
Ezekieli 27 : 12
12 Tarshishi alikuwa mfanya biashara kwako, kwa sababu ya wingi wa utajiri wa kila aina; kwa fedha, na chuma, na bati, na risasi, walifanya biashara, wapate vitu vyako vilivyouzwa.
Leave a Reply