Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Bath-Sheba
1 Mambo ya Nyakati 3 : 5
5 Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;
2 Samweli 11 : 5
5 Yule mwanamke akachukua mimba; basi akapeleka habari na kumwambia Daudi, akasema, Ni mja mzito.
1 Wafalme 1 : 31
31 Ndipo Bathsheba akainama kifudifudi, akamsujudia mfalme, akasema, Bwana wangu mfalme Daudi na aishi milele.
1 Wafalme 2 : 21
21 Naye akasema, Nataka Adonia, ndugu yako, aozwe Abishagi, Mshunami.
1 Mambo ya Nyakati 3 : 5
5 Na hawa alizaliwa huko Yerusalemu; Shamua, na Shobabu, na Nathani, na Sulemani, wanne, wana wa Bathsheba, binti Eliamu;
Leave a Reply