Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Nanga
Matendo 27 : 30
30 Na baharia walipotaka kukimbia na kuiacha merikebu, wakiishusha mashua baharini kana kwamba wanataka kutupa nanga za omo,
Waraka kwa Waebrania 6 : 19
19 tuliyo nayo kama nanga ya roho, yenye salama, yenye nguvu, yaingiayo hata mle mlimo ndani ya pazia,
Leave a Reply