Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mume
Mathayo 21 : 46
46 Nao walipotafuta kumkamata, waliwaogopa makutano, kwa maana wao walimwona kuwa nabii.
Marko 12 : 9
9 Basi atafanyaje yule bwana wa shamba la mizabibu? Atakuja na kuwaangamiza wale wakulima, na lile shamba la mizabibu atawapa wengine.
Yohana 15 : 1
1 Mimi ndimi mzabibu wa kweli, na Baba yangu ndiye mkulima.
Leave a Reply