Biblia inasema nini kuhusu Mtungi – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mtungi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mtungi

Maombolezo 4 : 2
2 ⑦ Wana wa Sayuni wenye thamani, Walinganao na dhahabu safi, Jinsi wanavyodhaniwa kuwa vyombo vya udongo, Kazi ya mikono ya mfinyanzi!

Waamuzi 7 : 20
20 Vile vikosi vitatu wakapiga tarumbeta, wakaivunja mitungi, wakaishika mienge kwa mikono yao ya kushoto, na zile tarumbeta katika mikono yao ya kulia ili kuzipiga; wakapiga kelele, Upanga wa BWANA na wa Gideoni.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *