Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Miniamini
2 Mambo ya Nyakati 31 : 15
15 ④ Na chini yake walikuwa Edeni, na Minyamini, na Yeshua, na Shemaya, na Amaria, na Shekania, mijini mwa makuhani, kwa walivyoaminiwa, ili kuwagawia ndugu zao kwa zamu, wakuu na wadogo sawasawa;
Nehemia 12 : 17
17 wa Abia, Zikri; wa Miyamini; wa Maazia, Piltai;
Nehemia 12 : 41
41 na makuhani, Eliakimu, Maaseya, Miyamini, Mikaya, Elioenai, Zekaria na Hanania, wenye baragumu;
Leave a Reply