Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mileto
Matendo 20 : 15
15 Tukatweka kutoka huko, na siku ya pili tukafika mahali panapokabili Kio; siku ya tatu tukawasili Samo, tukakaa Trogilio, siku ya nne tukafika Mileto.
Matendo 20 : 38
38 wakihuzunika zaidi kwa sababu ya neno lile alilosema, ya kwamba hawatamwona uso tena. Wakamsindikiza hata merikebuni.
2 Timotheo 4 : 20
20 Erasto alibaki Korintho. Trofimo nilimwacha huku Mileto, mgonjwa.
Leave a Reply