Biblia inasema nini kuhusu Mifupa – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mifupa

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mifupa

Ezekieli 37 : 14
14 ⑩ Nami nitatia roho yangu ndani yenu, nanyi mtaishi, nami nitawawekeni katika nchi yenu, nanyi mtajua ya kuwa mimi, BWANA, nimesema hayo, na kuyatimiza, asema BWANA.

Zaburi 34 : 20
20 ⑫ Huihifadhi mifupa yake yote, Usivunjike hata mmoja.

Yohana 19 : 36
36 Kwa maana hayo yalitukia ili andiko litimie, Hapana mfupa wake utakaovunjwa.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *