Biblia inasema nini kuhusu Meshelemia – Mistari yote ya Biblia kuhusu Meshelemia

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Meshelemia

1 Mambo ya Nyakati 9 : 21
21 Zekaria, mwana wa Meshelemia, alikuwa bawabu mlangoni pa ile hema ya kukutania.

1 Mambo ya Nyakati 26 : 2
2 Naye Meshelemia alikuwa na wana; Zekaria mzaliwa wa kwanza, Yediaeli wa pili, Zebadia wa tatu, Yathnieli wa nne;

1 Mambo ya Nyakati 26 : 9
9 Naye Meshelemia alikuwa na wana na nduguze, watu mashujaa, kumi na wanane.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *