Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mchwa
Mithali 6 : 6 – 8
6 Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.
7 Kwa maana yeye hana kiongozi, Wala msimamizi, wala mkuu,
8 Lakini hujiwekea akiba ya chakula wakati wa jua; Hukusanya chakula chake wakati wa mavuno.
Mithali 30 : 25
25 Chungu ni watu wasio na nguvu; Lakini hujiwekea chakula wakati wa joto.
Mithali 30 : 24 – 25
24 Kuna viumbe vinne duniani vilivyo vidogo; Lakini vina akili nyingi sana.
25 Chungu ni watu wasio na nguvu; Lakini hujiwekea chakula wakati wa joto.
Mithali 6 : 6
6 Ewe mvivu, mwendee chungu, Zitafakari njia zake ukapate hekima.
Mithali 13 : 4
4 Nafsi ya mtu mvivu hutamani asipate kitu; Bali nafsi ya mwenye bidii itanenepeshwa.
Mithali 20 : 4
4 Mtu mvivu hataki kulima wakati wa baridi; Hivyo wakati wa mavuno ataomba, hana kitu.
Wakolosai 3 : 23
23 Lolote mfanyalo, lifanyeni kwa moyo, kama kwa Bwana, wala si kwa wanadamu,
1 Timotheo 5 : 8
8 Lakini mtu yeyote asiyewatunza walio wake, yaani, wale wa nyumbani mwake hasa, ameikana imani, tena ni mbaya kuliko mtu asiyeamini.
Waefeso 6 : 7
7 kwa nia njema kama kumtumikia Bwana wala si mwanadamu;
Leave a Reply