Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mazungumzo
Amosi 3 : 3
3 Je! Watu wawili wanaweza kutembea pamoja, wasipokuwa wamepatana?
1 Yohana 1 : 6
6 Tukisema ya kwamba tunashirikiana naye, huku tukienenda katika giza, tunasema uongo, wala hatuifanyi iliyo kweli;
2 Timotheo 2 : 5
5 Hata mwanariadha hapewi taji, asiposhindana kwa kufuata sheria.
Leave a Reply