Biblia inasema nini kuhusu mazishi – Mistari yote ya Biblia kuhusu mazishi

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia mazishi

Warumi 14 : 8
8 ⑯ Kwa maana kama tukiishi, twaishi kwa Bwana, au kama tukifa, twafa kwa Bwana. Basi kama tukiishi au kama tukifa, tu mali ya Bwana.

1 Wathesalonike 4 : 13
13 ⑲ Lakini, ndugu, hatutaki msijue habari zao waliolala mauti, msije mkahuzunika kama na wengine wasio na matumaini.

Yohana 11 : 25 – 26
25 Yesu akamwambia, Mimi ndimi huo ufufuo, na uzima. Yeye aniaminiye mimi, hata akifa, atakuwa anaishi;
26 ⑯ naye kila aishiye na kuniamini hatakufa kabisa hata milele. Je! Unayasadiki hayo?

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *