Biblia inasema nini kuhusu Matania – Mistari yote ya Biblia kuhusu Matania

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Matania

2 Mambo ya Nyakati 20 : 14
14 Ndipo Yahazieli mwana wa Zekaria, mwana wa Benaya, mwana wa Yeieli, mwana wa Matania, Mlawi, wa wana wa Asafu, akajiliwa na Roho ya BWANA, katikati ya kusanyiko;

Nehemia 12 : 8
8 ⑫ Tena Walawi; Yeshua, Binui, Kadmieli, Sherebia, Yuda, na Matania, aliyekuwa juu ya shukrani, yeye na ndugu zake.

1 Mambo ya Nyakati 25 : 4
4 Wa Hemani; wana wa Hemani; Bukia, Matania, Uzieli, Shebueli, na Yeremothi, Hanania, Hanani, Eliatha, Gidalti, na Romanti-ezeri, Yoshbekasha, Malothi, Hothiri, Mahaziothi;

1 Mambo ya Nyakati 25 : 16
16 ya tisa Matania wanawe na nduguze, kumi na wawili;

2 Mambo ya Nyakati 29 : 13
13 na wa wana wa Elisafani, Shimri na Yeueli; na wa wana wa Asafu, Zekaria na Matania;

Ezra 10 : 27
27 ⑱ Na wa wazawa wa Zatu; Elioenai, na Eliashibu, na Matania, na Yeremothi, na Zabadi, na Aziza.

Ezra 10 : 30
30 Na wa wazawa wa Pahath-Moabu; Adna, na Kelali, na Benaya, na Maaseya, na Matania, na Besaleli, na Binui, na Manase.

Ezra 10 : 37
37 na Matania, na Matenai, na Yaasu.

Nehemia 13 : 13
13 Nami nikawaweka watunza hazina juu ya hazina, yaani, Shelemia kuhani, na Sadoki mwandishi, na wa Walawi, Pedaya; na wa pili wao alikuwa Hanani, mwana wa Zakuri, mwana wa Matania; kwani walihesabiwa kuwa waaminifu, na ilikuwa juu yao kuwagawia ndugu zao.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *