Biblia inasema nini kuhusu Mabaali – Mistari yote ya Biblia kuhusu Mabaali

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Mabaali

Waamuzi 2 : 11
11 Wana wa Israeli walifanya mambo maovu mbele za macho ya BWANA, na wakawatumikia Mabaali.

1 Samweli 7 : 4
4 Ndipo wana wa Israeli wakayaondoa Mabaali na Maashtorethi, wakamtumikia BWANA peke yake.

Hosea 2 : 13
13 Nami nitamwadhibu kwa sababu ya siku za Mabaali, aliowafukizia uvumba; hapo alipojipamba kwa pete masikioni mwake, na kwa vito asema BWANA.

Hosea 2 : 17
17 Kwa maana nitayaondoa majina ya Mabaali kinywani mwake, wala hawatatajwa tena kwa majina yao.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *