Biblia inasema nini kuhusu lugha chafu – Mistari yote ya Biblia kuhusu lugha chafu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia lugha chafu

Waefeso 4 : 29
29 ⑮ Neno lolote lililo ovu lisitoke vinywani mwenu, bali lililo jema la kumfaa mwenye kuhitaji, ili liwape neema wanaosikia.

Kutoka 20 : 7
7 ⑲ Usilitaje bure jina la BWANA, Mungu wako, maana BWANA hatamhesabia kuwa hana hatia mtu alitajaye jina lake bure.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *