Biblia inasema nini kuhusu kuwa mtiifu – Mistari yote ya Biblia kuhusu kuwa mtiifu

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kuwa mtiifu

Yohana 14 : 15
15 ⑬ Mkinipenda, mtazishika amri zangu.

Yakobo 2 : 18
18 ③ Lakini mtu atasema, Wewe unayo imani, nami ninayo matendo. Nionyshe imani yako pasipo matendo, nami nitakuonesha imani yangu kwa njia ya matendo yangu.

Yakobo 2 : 24
24 ⑧ Mwaona kwamba mwanadamu huhesabiwa kuwa ana haki kwa matendo yake; si kwa imani peke yake.

2 Wathesalonike 1 : 8
8 katika muali wa moto; huku akiwalipiza kisasi wao wasiomjua Mungu, na wao wasioitii Injili ya Bwana wetu Yesu;

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *