Biblia inasema nini kuhusu Kuvuna – Mistari yote ya Biblia kuhusu Kuvuna

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia Kuvuna

Zaburi 129 : 7
7 Ambayo mvunaji haujazi mkono wake, Wala mfunga miganda kifua chake.

Zaburi 126 : 6
6 Ingawa mtu anakwenda zake akilia, Azichukuapo mbegu za kupanda. Hakika atarudi kwa kelele za furaha, Aichukuapo miganda yake.

Hosea 10 : 13
13 ① Mmelima dhuluma, mmevuna uovu; mmekula matunda ya uongo; kwa maana uliitumainia njia yako, na wingi wa mashujaa wako.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *