Biblia inasema nini kuhusu kutokuwa na shukrani – Mistari yote ya Biblia kuhusu kutokuwa na shukrani

Hizi ndizo Aya za Biblia zinazozungumzia kutokuwa na shukrani

Hesabu 11 : 4 – 6
4 Kisha mkutano wa wafuasi waliokuwa kati yao, wakashikwa na tamaa; wana wa Israeli nao wakalia tena, wakasema, Ni nani atakayetupa nyama tule?
5 Twakumbuka samaki tuliokula huko Misri bure; na yale matango, na matikiti, na mboga, na vitunguu, na vitunguu saumu;
6 lakini sasa roho zetu zimekauka; hakuna kitu chochote; hatuna kitu cha kutumaini isipokuwa hii mana tu.

1 Yohana 2 : 16
16 Maana kila kilichomo duniani, yaani, tamaa ya mwili, na tamaa ya macho, na kiburi cha uzima, havitokani na Baba, bali vyatokana na dunia.

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *